iqna

IQNA

Uchambuzi
IQNA - Mjumbe wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu wa Iran ametaja sababu nne ambazo anaamini zilisababisha kuanguka kwa serikali ya Bashar al-Assad nchini Syria.
Habari ID: 3479888    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/10

Hali nchini Syria
TEHRAN (IQNA)- Ujumbe wa maspika na wabunge wa mabunge ya nchi za Kiarabu uliwasili Damascus, mji mkuu wa Syria siku ya Jumapili kuonyesha mshikamano na nchi hiyo kufuatia matetemeko makubwa ya ardhi yaliyosababisha vifo vya maelfu ya watu nchini Syria na Uturuki.
Habari ID: 3476631    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/27

TEHRAN (IQNA) - Rais Bashar al Assad wa Syria amesema Marekani na baadhi ya nchi za Magharibi zinawazuia wakimbizi wa Syria wasirudi nchini kwao.
Habari ID: 3473351    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/11